Yesu alifundisha kuwa upole siyo udhaifu, bali ni nguvu ya kiroho inayoonyesha tabia ya kweli ya Mungu.
Nukuu ya Roho ya Unabii:
“Upole wa Kristo ulikuwa wa kipekee, lakini ulijaa nguvu ya kushinda dhambi.” — {The Desire of Ages, 353.1}
Andiko la Kimaandiko:
“Heri wenye upole, maana hao watairithi nchi.” (Mathayo 5:5)
Tafakari
