“Bwana ndiye mchungaji wangu, sitapungukiwa na kitu.”— Zaburi 23:1
Kondoo humtegemea mchungaji wake kikamilifu. Huu ndio wito wetu - kujinyenyekeza mbele za Mungu kama watoto.
“Wale waliotayari kufundishwa, ndio wanaopokea baraka za Mungu.” — Christ’s Object Lessons, uk. 59
Nifundishe kuwa mnyenyekevu kama kondoo na nikutegemee kila siku.