“Uwe hodari na moyo wa ushujaa...”— Yoshua 1:9
Nyati husimama imara hata anapotishiwa. Mkristo anapaswa kuwa na ujasiri wa kusema ukweli na kusimama kwa haki hata akitishiwa.
“Watu wa Mungu hawapaswi kuogopa kusimama peke yao kwa ajili ya kweli.”— Prophets and Kings, uk. 148
Bwana, nisaidie kuwa jasiri kusema ukweli kwa upendo bila woga.