“Tumeweka lijamu kinywani mwa farasi ili watutii.”— Yakobo 3:3
Farasi aliyezoezwa hutii hata kwa mguso mdogo. Huo ndio moyo ambao Mungu anautafuta — uliotayari kutii hata bila kushurutishwa.
“Utii wa kweli ni matokeo ya upendo wa moyoni.”— Steps to Christ, uk. 60
Bwana, nisaidie kuwa mwepesi kutii sauti yako hata pale nisipoelewa njia ninayoipitia.