“Heri wanyonge maana watairithi dunia.” — Mathayo 5:5
Ng’ombe huvumilia kazi nzito bila malalamiko. Vivyo hivyo, tunaalikwa kuwa na moyo wa kutumika kwa upole na uvumilivu hata tunapochoka.
Kristo alituonyesha mfano wa kutumikia kwa upendo bila kudai malipo.” — The Ministry of Healing, uk. 19
Bwana, nijalie moyo wa kutumika kwa uvumilivu kama ng’ombe shambani.