“Ajikwezaye atashushwa, na ajishushaye atakwezwa.”— Mathayo 23:12
Jogoo hupenda kujionesha na kupiga kelele mbele ya wote. Mkristo anaitwa kuacha kiburi na kutafuta unyenyekevu wa kweli.
“Kiburi ndicho chanzo cha kuanguka kwa wengi waaminio.”— The Desire of Ages, uk. 302
Bwana, vunja kiburi ndani yangu, na nijalie moyo wa unyenyekevu kama wa Kristo.